
Baadhi ya Mashabiki na wanachama wa Simba wakiangalia moja ya Mechi za timu hiyo

Baadhi ya wanachama wa kabu ya Simba wakiwa jukwaani kushuhudia moja ya michezo ya timu hiyo.
Kamati ya uchaguzi ya klabu ya soka ya Simba.

Rais wa TFF Jamal Malinzi akizungumza katika moja ya mikutano yake na waandishi wa habari.
Aliyekua mgombea urais wa klabu ya Simba Michael Wambura wakati huo akirudhisha fomu za kuwania nafasi hiyo.

Michael Wambura akiingia katika gari mara baada ya kuwasilisha rufaa yaek TFF.
Kamati ya uchaguzi ya klabu ya soka ya Simba ikiwa katika picha ya pamoja katika moja ya mikutano mbele ya waandishi wa habari.

Rais wa shirikisho la soka Tanzania TFF Jamal Malinzi akitangaza kusimamisha uchaguzi wa klabu ya Simba.

pichani ni moja ya kadi ambazo mashabiki wa timu za Simba na Yanga watazitumia
Michael Wambura kushoto akizungumza jambo katika moja ya mikutano yake.

Michael Wambura wakati akirudisha fomu ya kugombea

Baadhi ya wanachama wa Simba wakiwa katika moja ya mikutano ya klabu hiyo
Amis Tambwe wa Simba akishangilia moja kati ya mabao yake 19 aliyoifungia timu yake nakuibuka mfungaji bora wa ligi kuu msimu wa 2013/2014