Baadhi ya Mashabiki na wanachama wa Simba wakiangalia moja ya Mechi za timu hiyo

3 Jul . 2014

Baadhi ya wanachama wa kabu ya Simba wakiwa jukwaani kushuhudia moja ya michezo ya timu hiyo.

28 Jun . 2014

Kamati ya uchaguzi ya klabu ya soka ya Simba.

23 Jun . 2014

Rais wa TFF Jamal Malinzi akizungumza katika moja ya mikutano yake na waandishi wa habari.

21 Jun . 2014

Aliyekua mgombea urais wa klabu ya Simba Michael Wambura wakati huo akirudhisha fomu za kuwania nafasi hiyo.

20 Jun . 2014

Michael Wambura

19 Jun . 2014

Michael Wambura akiingia katika gari mara baada ya kuwasilisha rufaa yaek TFF.

19 Jun . 2014

Kamati ya uchaguzi ya klabu ya soka ya Simba ikiwa katika picha ya pamoja katika moja ya mikutano mbele ya waandishi wa habari.

16 Jun . 2014

Rais wa shirikisho la soka Tanzania TFF Jamal Malinzi akitangaza kusimamisha uchaguzi wa klabu ya Simba.

15 Jun . 2014

pichani ni moja ya kadi ambazo mashabiki wa timu za Simba na Yanga watazitumia

30 Mei . 2014

Michael Wambura kushoto akizungumza jambo katika moja ya mikutano yake.

29 Mei . 2014

Michael Richard Wambura.

28 Mei . 2014

Michael Wambura wakati akirudisha fomu ya kugombea

27 Mei . 2014

Baadhi ya wanachama wa Simba wakiwa katika moja ya mikutano ya klabu hiyo

25 Mei . 2014

Amis Tambwe wa Simba akishangilia moja kati ya mabao yake 19 aliyoifungia timu yake nakuibuka mfungaji bora wa ligi kuu msimu wa 2013/2014

24 Mei . 2014
  •