Aliekua Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Fatma Ally aliesimama akiongea katika moja Mikutano yake na Wananchi (Kushoto) ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendego.

5 Jul . 2016

Wanakijiji katika Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma wakiwa wanashughulikia Mlo wao kutokana na baa la Njaa

13 Jan . 2016

Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Francis Mwonga, akiongea na wananchi wa Kijiji cha Mtitaa

13 Nov . 2015

Mmmoja wa Wanawake akiwa katika mdahalo wa kuelemisha juu ya Uongozi katika Kijiji

24 Aug . 2015

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi wa Polisi EMMANUEL G. LUKULA (ACP)

23 Jul . 2015

Baadhi ya silaha zilizowahi kukamatwa katika matukio ya Ujangili.

25 Jun . 2015

Haya ni makundi makubwa ya Tembo katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha Iringa ni hifadhi yenye mvuto mkubwa kwa wageni na watalii wa ndani pia kutembelea hifadhi

23 Jun . 2015

Mchambuzi Mwandamizi wa Compyuta wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa, Frank Mhando akimuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa moja ya mashine ya BVR

28 Mei . 2015

Mratibu wa TASAF wilayani Chamwino Christina Mtwale.

1 Mei . 2015

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt, Seif Rashid,

25 Apr . 2015

Baadhi ya watoto wenye ulemavu wakipokea baiskeli kama msaada.

21 Apr . 2015

Kiongozi mkuu wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe.

15 Apr . 2015

Basi la Kidia baada ya kupata ajali iliyosababisha vifo vya watu wawili na 45 kujeruhiwa

20 Feb . 2015

Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Fatma Ally.

10 Feb . 2015