Daima aanzisha bendi Japan

Mwanamuziki Daima akiwa na Dk. Ghalib Bilal nchini Japan

Mwanamuziki Elidaima Chikira aka Daima wa nchini Tanzania mwenye makazi yake mjini Tokyo nchini Japan amanzisha bendi yake aliyoibatiza jina 'Press The Seal' inayotamba na vibao vyake viwili vilivyobatizwa jina 'This is life' na 'Gwaride'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS