Daima aanzisha bendi Japan
Mwanamuziki Elidaima Chikira aka Daima wa nchini Tanzania mwenye makazi yake mjini Tokyo nchini Japan amanzisha bendi yake aliyoibatiza jina 'Press The Seal' inayotamba na vibao vyake viwili vilivyobatizwa jina 'This is life' na 'Gwaride'.

