Tanzania kuvumbua Chanjo ya kwanza ya malaria

Mkurugenzi mkuu wa taasisi ya Ifakara health Institute (IHI) Dkt Salim Abdullah.

Taasisi ya utafiti wa magonjwa na tiba ya Ifakara Health Institute ya Jijini Dar es Salaam, inafanya utafiti wa kinga ya kwanza na ya kipekee duniani, inayolenga kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa malaria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS