Tuzo mbali mbali ambazo zimetolewa kwa timu,waamuzi na wachezaji na makocha waliofanya vizuri msimu wa 2013-14 wa ligi kuu TZ Bara.
Kufuatia kumalizika kwa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2013-14, wadhamini wa ligi hiyo kampuni ya huduma za simu za mkononi VODACOM wametoa zawadi kwa washindi mbali mbali.