Michael Wambura akata rufaa kuenguliwa Simba

Michael Wambura kushoto akizungumza jambo katika moja ya mikutano yake.

Michael Wambura leo amewasilisha rufaa kupinga kuenguliwa kwake kwa kamati ya rufaa ya uchaguzi ya TFF akiwa na vielelezo zaidi ya 14 vya kutetea hoja yake akipinga maamuzi ya kamati ya uchaguzi ya klabu ya Simba

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS