Anto Neosoul kufanya ziara DSM

Mwanamuziki Anto NEosoul wa nchini Kenya

Mwanamuziki maarufu wa nchini Kenya Anto Neosoul anajiandaa na ziara yake ya muziki Afrika Mashariki akianzia kwanza mjini Mombasa nchini Kenya mnamo tarehe 5 mwezi huu atakapotumbuiza na mwanadada Jaya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS