SSRA kuongeza wigo wa huduma za hifadhi ya jamii
Mamlaka ya usimamizi wa huduma za hifadhi ya jamii nchini Tanzania – SSRA, inaangalia uwezekano wa kuhakikisha Watanzania wote wanaingizwa katika huduma za hifadhi ya jamii, sambamba na kuangalia uwezekano wa nchi kuwa na fao la kukosa ajira.

