Watumishi wapya wapewe mafunzo elekezi - serikali

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dkt Rehema Nchimbi.

Serikali imewataka wasimamizi wakuu wa rasilimali watu katika mamlaka za serikali za mitaa kuwajibika na kuhakikisha kuwa watumishi wote wanaoajiriwa kwa mara ya kwanza katika halmashauri zao wanapatiwa mafunzo elekezi ndani ya miezi sita .

Akizungumza mjini Dodoma Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Dk, rehema Nchimbi amesema rasilimali watu wenye maarifa na weledi ni muhimu kuliko nyingine zote katika taifa lolote duniani katika kupiga hatua za kimaendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS