Ukaguzi unaimarisha majeshi ya SADC - Mwamunyange
Mkuu wa majeshi nchini Tanzania Jenerali Davis Mwamunyange amesema uimara wa majeshi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika SADC unachangiwa kwa kiasi kikubwa na ukaguzi wa mara kwa mara unaofanywa na idara za ukaguzi.