Roma hawabagui wasanii
Kufuatia rapa ROMA kuonekana kama msanii asiyekuwa na utamaduni wa kufanyakazi ama kolabo na wasanii wenye majina makubwa nchini, kutokana na kuwa na rekodi chache ambazo amefanya na mastaa wenzake, amefunguka na kuwatoa hofu mashabiki wake.

