Kozi ya ukocha CAF daraja B yaendelea Dar

Baadhi ya walimu wa soka wakiwa katika moja ya semina za mafunzo kutoka CAF.

TFF/CAF waahidi kozi zaidi kwa makocha Tanzania lengo likiwa ni kuhakikisha Tanzania inaondokana na kilio cha waalimu wenye taaluma ya madaraja ya juu ya ualimu wa mpira wa miguu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS