Wakazi Dar wazungumzia mauaji ya Albino

Picha ya mtoto aliyezaliwa akiwa na ulemavu wa ngozi ujulikanao kama albinism.

Ikiwa ni siku tatu tu kupita tangu kutokea tukio la mauwaji ya mlemavu wa ngozi huko Simiyu Bariadi wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamekuwa na maoni tofauti kuhusiana na vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu ikiwemo mauaji ya walemavu wa ngozi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS