Kipindi Cha Mkasi chashinda tuzo

Josh Muruga na Salama Jabir

Kipindi cha Mkasi kinachorushwa kupitia tinga namba moja ya Vijana, EATV kimefanikiwa kushinda tuzo ya kipindi cha runinga kinachopendwa zaidi na watu katika tukio la ugawaji tuzo za watu uliofanyika siku ya jana jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS