Watatu wafariki 10 wajeruhiwa katika ajali ya gari

Gari iliyopata ajali

Watu watatu wamekufa na wengine kumi wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Noah kupasuka tairi ya nyuma na kupinduka mara tatu katika kijiji cha Januka manispaa ya Singida.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS