TEA yasisitiza misaada katika sekta ya elimu
Mamlaka ya elimu nchini Tanzania imesema bado kuna mahitaji ya vifaa mbalimbali kwa wanafunzi wa shule za sekondari nchini, ikiwemo vitabu, pamoja na mabweni ambayo yatasaidia wanafunzi hao kuishi kutokana na umbali mrefu wanaotembea kwenda shule.

