TEA yasisitiza misaada katika sekta ya elimu

Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Dkt Shukuru Kawambwa.

Mamlaka ya elimu nchini Tanzania imesema bado kuna mahitaji ya vifaa mbalimbali kwa wanafunzi wa shule za sekondari nchini, ikiwemo vitabu, pamoja na mabweni ambayo yatasaidia wanafunzi hao kuishi kutokana na umbali mrefu wanaotembea kwenda shule.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS