Fichueni wahusika wa fedha haramu - Polisi
Jeshi la polisi limewataka Watanzania kuwafichua watu wanaodhaniwa kuwa na mali walizopata kwa njia ya udanganyifu ikiwemo fedha za wizi wa kughushi, kutokana na wengi kubaki maskini, huku wachache wakinufaika kwa mabilioni ya fedha isivyo halali.

