Fichueni wahusika wa fedha haramu - Polisi

Mkuu wa jeshi la polisi nchini Tanzania IGP Ernest Mangu.

Jeshi la polisi limewataka Watanzania kuwafichua watu wanaodhaniwa kuwa na mali walizopata kwa njia ya udanganyifu ikiwemo fedha za wizi wa kughushi, kutokana na wengi kubaki maskini, huku wachache wakinufaika kwa mabilioni ya fedha isivyo halali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS