Muhimbili yazidiwa na wagonjwa wa figo
Hospitali ya taifa ya Muhimbili inapokea wagonjwa 30 kila siku kwa ajili ya kuchujwa damu kutokana na matatizo ya figo, hali inayosababisha hospitali hiyo kukabiliwa na uhaba wa mashine hizo, kufuatia hospitali hiyo kuwa na mashine 17 pekee pekee.

