Muhimbili yazidiwa na wagonjwa wa figo

Mashine ya kuchuja damu kwa wagonjwa wa figo.

Hospitali ya taifa ya Muhimbili inapokea wagonjwa 30 kila siku kwa ajili ya kuchujwa damu kutokana na matatizo ya figo, hali inayosababisha hospitali hiyo kukabiliwa na uhaba wa mashine hizo, kufuatia hospitali hiyo kuwa na mashine 17 pekee pekee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS