Mgomo wa daladala Mbeya wamalizika Moja ya dalada iliyoanza kufanya kazi leo jijini Mbeya Hatimaye mgomo wa daladala uliodumu kwa siku 2 mjini Mbeya wamalizika leo baada ya mazungumzo kufanyika kati ya madereva na halmashauri ya jiji. Read more about Mgomo wa daladala Mbeya wamalizika