Elimu ya awali itasaidia kupunguza ajali - AMEND
Utoaji wa elimu ya usalama barabarani kwa wanafunzi wa shule za awali na za msingi, imetajwa kuwa moja ya njia zitakazosaidia kuwepo kwa matumizi bora ya barabara pamoja na kupunguza ukubwa wa tatizo la ajali za barabarani nchini Tanzania.

