Mgomo wa daladala Mbeya wamalizika

Moja ya dalada iliyoanza kufanya kazi leo jijini Mbeya

Hatimaye mgomo wa daladala uliodumu kwa siku 2 mjini Mbeya wamalizika leo baada ya mazungumzo kufanyika kati ya madereva na halmashauri ya jiji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS