Serikali yafafanua ndege zinazoruka ziwa Nyasa

Waziri wa uchukuzi nchini Tanzania Dkt Harrison Mwakyembe.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo imekiri kuchelewa kutoa taarifa kuhusiana na kuruka kwa ndege maalum za utafiti ambazo huruka mpakani mwa Tanzania na Malawi na kuingia eneo la Tanzania na kusababisha hofu kwa wananchi wa maeneo hayo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS