Jamii yatakiwa kuheshimu na kulinda haki za watoto Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa, Kassim Majaliwa. Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa nchini Tanzania (TAMISEMI) imetoa wito kwa jamii kushiriki kulinda haki za watoto. Read more about Jamii yatakiwa kuheshimu na kulinda haki za watoto