Samata na Ulimwengu kutua Mei 17

Mbwana Samata (Kushoto) na Thomas Ulimwengu (Kulia) wakishangilia bao katika moja ya michezo ya Taifa Stars

Wachezaji Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wanatarajiwa kuwasili Jumamosi mchana (Mei 17 mwaka huu) kujiunga na Taifa Stars kwa ajili ya mechi dhidi ya Zimbabwe (Mighty Warriors).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS