Wanasheria toeni haki maeneo ya vijijini - Waziri

Naibu waziri wa Katiba na Sheria nchini Tanzania Bi. Angela Kairuki (kushoto).

Taasisi na asasi zinazotoa msaada wa kisheria nchini Tanzania zimetakiwa kusogeza huduma za msaada wa kisheria katika magereza na mahabusu mbali mbali nchini, mahali ambako kuna uhitaji mkubwa wa msaada wa kisheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS