Tanzania yasaini mkataba na wadau wa maendeleo

Katibu mkuu Wizara ya Fedha na Uchumi Dkt Servacius Likwelile (kulia) akisaini moja ya makubaliano na balozi wa Jumuiya ya Ulaya nchini Tanzania Filberto Sebregondi.

Serikali ya Tanzania leo imetiliana saini makubaliano ya mkataba wa kupata fedha zaidi ya shilingi bilioni 108 za Tanzania kutoka kwa wadau wa maendeleo, fedha ambazo zitatumika katika kuboresha sekta ya afya nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS