Serikali yaweka wazi mkakati wa kuchochea uchumi
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka wazi mpango mkakati wa
kuchochea kasi ya ukuaji wa uchumi hasa kupitia sekta ya kilimo kwa kuanzisha benki ya Kilimo ili kutoa mikopo kwa wakulima kwa ajili ya kuboresha uzalishaji wa mazao.

