Bunge lapokea itifaki ya umoja wa fedha EAC
Serikali ya Tanzania imewasilisha bungeni azimio la kuridhia itifaki ya kuanzisha umoja wa fedha wa jumuia ya Afrika mashariki,ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuelekea kwenye matumizi ya sarafu moja kwa nchi za jumuia hiyo.

