Bunge lapiga kalenda Muswada wa misamaha ya kodi.

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kamati ya bunge ya Bajeti imekataa kubariki Muswada wa Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani VAT na Muswada wa Sheria ya utawala wa kodi ambao ulikuwa uwasilishwe bungeni jumatatu ijayo na kujadiliwa ili misamaha ya kodi isiyo na tija ifutwe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS