Kiungo mbrazil wa Yanga atua Dar

Andrey Marcel Ferreira Coutinho akiwasili katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere mchana wa leo

Kiungo mshambuliaji mpya wa timu ya Young Africans SC Andrey Marcel Ferreira Coutinho amewasili mchana wa leo jijini Dar es salaam akitokea kwao nchini Brazil tayari kwa kuanza kazi ya kuwatumikia wana Wanajangwani katika msimu wa 2014/2015.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS