14 wateuliwa timu ya taifa ya cricket Tanzania U18

Wachezaji wa cricket wakiwa katika moja ya michezo hapa nchini.

Chama cha mchezo wa cricket Tanzania TCA kimetangaza wachezaji 14 wapya watakaounda kikosi cha timu ya taifa ya cricket ya vijana kitakachokwenda kwenye mashindano ya vijana ya Afrika yatakayofanyika nchini Zambia

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS