Msemaji wa wizara ya afya na ustawi wa jamii Nsachris Mwamwaja (katikati) akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara ya habari MAELEZO hivi karibuni.
Wizara ya afya na ustawi wa jamii nchini Tanzania imetoa ufafanuzi kuhusiana na taarifa za kuadimika kwa dawa za kufubaza makali ya ukimwi za ARV kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari hivi karibuni.