Mtoto wa Deborah kufuata nyayo

Mwimbaji wa bendi ya Kalunde nchini Tanzania, Deborah Nyangi

Meneja ambaye pia ni mwimbaji wa bendi maarufu ya muziki wa dansi jijini Dar es
Salaam 'The Kalunde Band', mwanadada Deborah Nyangi, ameongea na eNewz kuhusu kipaji cha binti yake ambaye anaamini siku moja atafuata nyayo zake katika muziki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS