Jaguar ageukia nyimbo za 'malovee'

Msanii wa Kenya Jaguar

Baada ya kutamba na wimbo wake 'Kipepeo', msanii ambaye nyota yake inazidi kung'ara kwa mafanikio Jaguar hivi sasa amejipanga kuachia wimbo wake mpya utakaokuwa katika mahadhi ya kimahaba zaidi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS