Serikali yakemea wapotoshaji lugha ya alama

Waziri wa afya na ustawi wa jamii nchini Tanzania Dkt Seif Rashid.

Serikali ya Tanzania imesema kuwa haiko tayari kuona baadhi ya watu wanaipotosha jamii ya viziwi Tanzania kwa kujifanya ni wakalimani wa lugha ya alama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS