Mkemia mkuu kudhibiti biashara ya kemikali

Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohammed Shein, akiwa katika hospitali kuu ya Mnazi Mmoja kisiwani Zanzibar, alipomtembelea mmoa wa majweruhi wa tukio la kumwagiwa tindikali.

Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali nchini Tanzania imewataka wanaoingiza kemikali nchini kufuata taratibu za uingizwaji, usafirishaji na utumiaji wa kemikali hizo ikiwa ni pamoja na kuwa na vibali stahiki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS