Ben Pol: Mitandao ina biashara nzuri Msanii wa RnB nchini Ben Pol Msanii wa miondoko ya RnB nchini Ben Pol amezungumzia kuhusu mauzo ya nyimbo zake kupitia mitandao yaani Online ambapo baadhi ya wasanii wengi nchini wamekuwa wakijiunga na kuuza kazi zao kupitia njia hizo. Read more about Ben Pol: Mitandao ina biashara nzuri