Waliomtesa mtoto Nasra wafunguliwa kesi ya mauaji Watuhumiwa wakiwa mahakamani Washtakiwa watatu waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka mawili ya kula njama na kumfanyia vitendo vya ukatili mtoto Nasra Rashid Mvungi, wamefunguliwa mashtaka ya mauaji. Read more about Waliomtesa mtoto Nasra wafunguliwa kesi ya mauaji