Desire awananga wabaya wake

Desire Luzinda akiwa katika pozi

Msanii wa muziki wa nchini Uganda, Desire Luzinda baada ya kupata mafanikio makubwa katika onesho lake mwisho wa wiki, ameibuka na kutoa ya moyoni kwa wale wote waliokuwa wanaeneza maneno kuwa onesho hili litafeli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS