Jamhuri Kihwelo 'Julio' na Michael Richard Wambura wanaongombea nafasi za makamu wa Rais na Makamu Rais mtawalia, wakirejesha fomu za ugombea makao makuu ya klabu hiyo.
Mchezaji na kocha wa zamani wa Simba SC, Jamhuri Mussa Kihwelo ‘Julio’ amechukua na kurudisha fomu ya kugombea umakamu wa Rais wa klabu hiyo.