Tanzania ina watu milioni 48 - Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.

Ofisi ya Taifa ya Takwimu nchini Tanzania leo imetoa chapisho kuu na la tatu la Sensa ya watu na makazi huku likionyesha kuwa idadi ya watu nchini imeongezeka kutoka watu milioni 44 na laki tisa hadi milioni 48 kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS