Mashabiki, wasanii wafurahia PB mpya

wasanii wa muziki wa bongofleva Luteni Kalama na mchumba wake Bella

Ujio mpya wa kipindi cha radio cha Planet Bongo ambayo kuanzia leo imeanza kuruka kuanzia saa 7 mpaka saa 10 jioni, ikijikita katika habari na burudani ya muziki wa Bongo Flava pekee, umekuwa ni kivutio kikubwa kwa wadau na mashabiki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS