Lema kukabidhi DVD ya bomu lililorushwa mkutanoni
Mbunge wa jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema, (CHADEMA), amemtaka Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, kujiandaa kupokea mkanda wa DVD ya bomu lililorushwa katika mkutano wa CHADEMA, Juni 15, 2013 kabla ya Bunge kuvunjwa.

