Watia nia wote wamepoteza sifa za kugombea-Kibamba

Wakati makada zaidi wa CCM wakiendelea kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kuwania urais ambapo leo Chikawe na Kitine wamechukua fomu hizo, mwanaharakati Deusi Kibamba amesema kuwa wagombea wote wamepoteza sifa za kugombea kwa kuvunja sheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS