Watakaonyanyasa makatibu Muhtasi kuchukuliwa hatua

Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu, Balozi Ombeni Sefue.

Serikali imesema kuwa haitasita kumchukulia hatua za kisheria mtu yeyote ambaye atajihusisha na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia kwa makatibu mahususi iwe katika ofisi ya umma au ofisi ya mtu binafsi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS