'Pakaza' ya Chin Bees kuingizwa kideoni wasanii wa Bongofleva Chin Bees na G Nako Msanii Chin Beez amesema kuwa shughuli ya upigaji picha za ngoma yake ya 'Pakaza' aliyomshirikisha G Nako, ilichelewa kutokana na muongozaji Hanscana na pia G.Nako kuwa na shughuli nyingine nje ya mkoa. Read more about 'Pakaza' ya Chin Bees kuingizwa kideoni