Maelfu wamzika John Guido Nyerere, mkoani Mara
Maelfu ya wananchi wa mkoa wa Mara na mikoa jirani wamejitokeza katika mazishi ya mtoto wa nne wa baba wa taifa Kapteni John Guido Nyerere, ambayo yamefanyika katika makaburi ya familia wilayani Butiama karibu na kaburi la baba wa taifa.