Maelfu wamzika John Guido Nyerere, mkoani Mara

Waziri wa Katiba na Sheria Mh Dkt. Asha-rose Migiro akitoa salama za Rambirambi kwa niaba ya Serikali wakati wa Mazishi ya Kepteni John Nyerere.

Maelfu ya wananchi wa mkoa wa Mara na mikoa jirani wamejitokeza katika mazishi ya mtoto wa nne wa baba wa taifa Kapteni John Guido Nyerere, ambayo yamefanyika katika makaburi ya familia wilayani Butiama karibu na kaburi la baba wa taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS