GNL Zamba akunwa na mastaa
Staa wa michano wa nchini Uganda, GNL Zamba ambaye amefanya ziara yake huko Marekani ameeleza kuhamasishwa kwa kiasi kikubwa na mastaa wakubwa nchini humo wanaofanya vizuri katika muziki na filamu, akiwepo Jamie Foxx, Tyrese Gibson na Ice Cube.

