GNL Zamba akunwa na mastaa

Staa wa michano wa nchini Uganda, GNL Zamba ambaye amefanya ziara yake huko Marekani ameeleza kuhamasishwa kwa kiasi kikubwa na mastaa wakubwa nchini humo wanaofanya vizuri katika muziki na filamu, akiwepo Jamie Foxx, Tyrese Gibson na Ice Cube.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS