Washindi TAFA 2015 kujulikana usiku wa leo

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifambwa

Shughuli kubwa ya ugawaji wa tuzo kwa kazi na wasanii bora wa tasnia hiyo kupitia Tanzania Film Awards 2015, inafanyika leo na inatarajiwa kuanza majira ya saa mbili usiku Mwalimu Nyerere Conference Centre jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS