Ngumi taifa wanawake Juni 10 Kigoma Mashindano ya ngumi ya taifa kwa wanawake yanatarajiwa kufanyika Juni 10 mpaka 16 mwaka huu mkoani Kigoma kwa kushirikisha vilabu mbalimbali vya mchezo hapa nchini. Read more about Ngumi taifa wanawake Juni 10 Kigoma