Mganga mkuu atakiwa kuwapandisha vyeo wauguzi Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda Serikali imeiagiza ofisi ya mganga mkuu wa mkoa wa Arusha, kuwapandisha vyeo wauguzi wenye sifa, wapandishwe mara moja na kulipwa stahiki zao. Read more about Mganga mkuu atakiwa kuwapandisha vyeo wauguzi