Ujenzi holela walitishia jiji la Arusha Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Juma Iddi. Wataalam wa mipango miji mkoani Arusha, jana walielezea wasiwasi wao juu ya ujenzi holela unaoendelea jijini humo, na kuitaka mamlaka husika kuchukua hatua za makusudi kutatua tatizo hilo. Read more about Ujenzi holela walitishia jiji la Arusha