Serikali kufungia viwanda vinavyokiuka sheria Serikali imetangaza kuwa haitasita kuchukua hatua kali kwa kufunga viwanda, migodi na huduma nyingine za uzalishaji endapo zitabainika kufanya shughuli zao bila kufuata sheria za uhifadhi wa mazingira. Read more about Serikali kufungia viwanda vinavyokiuka sheria