Serikali kufungia viwanda vinavyokiuka sheria

Serikali imetangaza kuwa haitasita kuchukua hatua kali kwa kufunga viwanda, migodi na huduma nyingine za uzalishaji endapo zitabainika kufanya shughuli zao bila kufuata sheria za uhifadhi wa mazingira.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS