Hatupanii Simba,Yanga ni aina ya uchezaji -Kabange Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea kesho na keshokutwa, huku macho ya mashabiki yakiwa kwa miamba watatu wanaofukuzana kileleni, Azam FC, Simba na Yanga SC. Read more about Hatupanii Simba,Yanga ni aina ya uchezaji -Kabange