Wanufaika mikopo elimu ya juu watakiwa kurejesha

Mkurugenzi wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa HESLB, Omega Ngole

Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu nchini imesema kuwa imeshatoa sh. billioni 459 kwa wanafunzi 122,486 kwa mwaka wa masomo wa 2015/16 ambapo imeelezwa ni kiwango cha juu zaidi kushinda miaka iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS