CCM yaomba radhi watanzania

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesikitishwa na ujumbe wenye maudhui ya ubaguzi, ulioandikwa kwenye moja ya mabango yaliyobebwa na mmoja wa wananchi, waliojitokeza katika maadhimisho ya sherehe za miaka 52 ya mapinduzi ya Zanzibar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS