CCM yaomba radhi watanzania
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesikitishwa na ujumbe wenye maudhui ya ubaguzi, ulioandikwa kwenye moja ya mabango yaliyobebwa na mmoja wa wananchi, waliojitokeza katika maadhimisho ya sherehe za miaka 52 ya mapinduzi ya Zanzibar.


