Williams, Djokovic waanza vyema Australian Open

Michuano ya wazi ya Australia ambayo imeanza kushika kasi yake hii leo.

Mabingwa watetezi wa michuano ya wazi ya Australia Serena Williams kwa wanadada na Novan Djokovic kwa wanaume wameanza vyema kampeni zao za kutetea ubingwa wao kufuatia ushindi walioupata mapema hii leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS