Wanakijiji katika Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma wakiwa wanashughulikia Mlo wao kutokana na baa la Njaa
Halmashauri ya Wilaya ya chamwino Mkoani Dodoma imepokea jumla ya tani 1,620 za chakula cha msaada kutoka serikalini kati ya tani 14,300 zinazohitajika ili kukabiliana na tatizo la njaa katika Wilaya hiyo.