Bilioni 137 kugharamia elimu bure jan-june 2016

Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa wakipeana mikono

Serikali imesema kuwa imekwishatenga kiasi cha sh. bilioni 137 kwa ajili ya kugharamia utoaji wa elimu ya bure kuanzia Januari hadi Juni, mwakani ambapo imeshaanza kusambaza pesa hizo katika mashule nchini

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS