SUMWA AHIMIZA MASUMBWI NYANDA ZA JUU KUSINI

Mwenyekiti wa chama cha ngumi za ridhaa mkoa wa Iringa akikutana na wanahabari mkoani humo.

Chama cha ngumi za ridhaa mkoa wa Iringa umesema umedhamiria kuhamasisha mchezo wa ngumi nyanda za juu kusini mwa Tanzania ili kuibua vipaji vilivyojificha vitakavyoweza kuitangaza nchi kimataifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS