Msako wa wezi wa umeme waendelea Mtwara

Moja ya nyumba ambayo Mwenye Nyumba amejiunganishia umeme wa wizi katika nyumba yake

Shirika la Umeme Tanzinia (TANESCO) mkoani Mtwara limefanikiwa kumkamata Jema Khamisi, mkazi wa kata ya Chikongola manispaa ya Mtwara kutokana na kubaini kuwa anatumia umeme wa wizi kwa muda ambao haukuweza kubainika haraka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS