Mapinduzi yasherehekewa na hisia tofauti

msanii wa miondoko ya mduara kutoka Zanzibar AT

Sherehe za kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar zimefanyika leo Tanzania Visiwani na kudhuriwa na viongozi mbalimbali, huku kukiwa na hisia tofauti kutoka kwa wananchi wa visiwani humo kuhusiana na tukio hilo la kihistoria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS