TALGWU walaani viongozi wanaotumia madaraka vibaya

Chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa nchini Tanzania TALGWU kimelaani vitendo wanavyofanyiwa wafanyakazi wa serikali za mitaa na baadhi ya viongozi wa wilaya nchini na kutumia vibaya kauli mbiu ya hapa kazi tu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS