TALGWU walaani viongozi wanaotumia madaraka vibaya
Chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa nchini Tanzania TALGWU kimelaani vitendo wanavyofanyiwa wafanyakazi wa serikali za mitaa na baadhi ya viongozi wa wilaya nchini na kutumia vibaya kauli mbiu ya hapa kazi tu.

