WACHEZAJI TANZANIA PRISONS WAPOTEZA KUJIAMINI
Kocha mkuu wa klabu ya Tanzania Prisons Salum Mayanga amesema kupoteza kwa hali ya kujiamini kwa wachezaji wake ndiko kunakopelekea timu yake kupata matokeo mabaya kwenye mechi za ligi kuu ya soka tanzania bara hivi karibuni.