WACHEZAJI TANZANIA PRISONS WAPOTEZA KUJIAMINI

kocha wa Tanzania Prisons kabla hajatua klabuni hapo akiwa kama kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars.

Kocha mkuu wa klabu ya Tanzania Prisons Salum Mayanga amesema kupoteza kwa hali ya kujiamini kwa wachezaji wake ndiko kunakopelekea timu yake kupata matokeo mabaya kwenye mechi za ligi kuu ya soka tanzania bara hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS