Serikali yavitoza faini viwanda uchafuzi Mazingira

Naibu waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Luhaga Mpina.

Serikali imevitoza faini ya jumla ya shilingi milioni 40 kiwanda cha sukari cha Ilovo wilayani Kilombero na kile cha ngozi cha Ace Leather LTD,cha mjini Morogoro kutokana na ukiukwaji wa sheria za mazingira.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS