Mkufunzi wa Shirikisho la soka barani Afrika CAF katika picha .
Makocha wazawa nchini wametakiwa kuzingatia weledi wa kazi yao kwa umakini mkubwa ili kuongeza ushindani kwa makocha wa kigeni wanaoonekana kuwa ndio bora zaidi yao kwenye klabu mbalimbali hapa nchini.