Wananchi watakiwa kujitolea kuchangia elimu Afisa elimu wa shule za sekondari wilaya ya Kinondoni Rogers Shemelekwa amesema kuwa ni jukumu la jamii sasa kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika kuandaa miundombinu ya ujenzi wa shule. Read more about Wananchi watakiwa kujitolea kuchangia elimu