Wilfred Kidau atoa somo kwa makocha wazawa

Mkufunzi wa Shirikisho la soka barani Afrika CAF katika picha .

Makocha wazawa nchini wametakiwa kuzingatia weledi wa kazi yao kwa umakini mkubwa ili kuongeza ushindani kwa makocha wa kigeni wanaoonekana kuwa ndio bora zaidi yao kwenye klabu mbalimbali hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS